USIKOSE KUFUATILIA MUINDAMO WA MWEZI WA KIISLAM KILA SIKU

 ,*,,*Alhamdulillahi ladhi ahyana baada ma  amatana wailayhi nushuur

*Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakaatuh* 

Leo ni *Mwezi * *8* **SHAABAN** (mwezi wa Nane wa Kiislam)  Mwaka wa *1444* *Hijria* 

Sawa na Siku ya Jumanne ya *tarehe* 01/03/*2023*      

Tumuombe ALLAH  atujaaliye Afya njema, mwisho uliokuwa mwema, atusamehe madhambi yetu, sisi na Wazazi wetu  waliohai na waliotangulia mbele ya haki.                     

                         **أمين يارب  العالمين**


Comments

Popular posts from this blog

HUU NDIO USHAURI WA TMA KWA SEKTA HIZI ...

TMA YATOA TAHADHARI KUHUSU UWEPO WA KIMBUNGA "HIDAYA"

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI