MWINJUMA AUTAKA UBUNGE KIVULE



Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Kipunguni Mwinjuma Abdul Seke amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Jimbo la Kivule.

Seke amekabidhiwa fomu hiyo leo June 30,2025 na Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala Sylvester Yaredi.

Aidha Seke amesema endapo atapata ridhaa ya kugombea katika Jimbo hilo atahakiksha anaunga mkono jitihada za Rais Dkt Samia Suluh Hassan za kuwaletea Maendeleo.

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE