NEEMA MCHAU ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UDIWANI VITI MAALUM



Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake uwezeshaji Kiuchumi Kata ya Gongo la Mboto Neema Mchau leo amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama udiwani viti Maalum.

Amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Rosemary Mwakisalu leo Julai 1,2025.

Amesema amechukua fomu hiyo ya kuomba ridhaa kwa lengo la kuwasaidia wanawake katika kuunga jitihada za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI