SHABANI MUSSA AREJESHA FOMU



Julai 1,2025, Shabani Mussa (Mwancelele), ambaye ni Diwani aliyemaliza muda wake wa kulitumikia kwa bidii na uaminifu wananchi wa Kata ya Pugu Stesheni, amerudisha rasmi fomu ya kugombea tena nafasi ya udiwani kwa kata hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Hatua hiyo inaashiria nia thabiti ya Mwancelele kuendeleza miradi ya maendeleo, kusimamia maslahi ya wananchi, na kuimarisha mshikamano wa kijamii uliokuwepo katika kipindi chake cha awali.

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI