WMA YATOA ELIMU YA VIPIMO KWA WANAFUNZI NANE NANE




Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) imeendelea kutoa elimu ya vipimo kwa wanafunzi waliotembelea  Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) ikiwa ni siku ya nne ya Maonesho ya Kilimo, maarufu kama Nanenane, Uwanja wa Nzuguni, Dodoma.

 Aidha, WMA imepanga kuanzisha vilabu (clubs) vya elimu ya vipimo mashuleni ikiwa ni mkakati wa kupanua wigo wa utoaji elimu ya vipimo kwa jamii.

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI