MWANASHERIA JOHN PETER AUTAKA UBUNGE UKONGA



Mwanasheria John Peter John leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Jimbo Ukonga .

Amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Sylvester Yaredi leo Julai 1,2025.

Aidha amesema amejipima ameona anafaa kuwatumia wananchi wa Ukonga endapo Chama kitampa ridhaa ya kugombea.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI