KANIKI ACHUKUA FOMU





Picha mbalimbali za matukio wakati Mgombea udiwani Kata ya Zingiziwa Selemani kaniki akielekea kuchukua fomu

Mgombea udiwani wa Chama cha Mapinduzi CCM Kata ya  Zingiziwa Wilayani Ilala Selemani Kaniki leo Agosti 18/2025 amechukua fomu ya kugombea Udiwani wa kata ya Zingiziwa ambapo Pichani alisindikizwa na viongozi wa chama wa kata hiyo pamoja na viongozi wa kata 

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI