MGOMBEA UDIWANI PUGU STESHENI AAHIDI KUTEKELEZA ILANI



Mgombea wa udiwani kata ya Pugu Stesheni kupitia Chama Cha mapinduzi Salumu Shaibu Omary  amewaahidi wananchi wa kata hiyo kuwafanyia kazi kwa bidii na kuhakikisha ilani ya  chama hicho inatekelezwa ipasavyo.

Ameyasema hayo leo  August 25 jijini dare es salaam baada ya kukabidhiwa barua ya uteuzi na katibu wa ccm wilaya ya ilala chief Sylvester Yared, ambapo amesema atafanya kazi kwa bidii ili kutatua kero zilizopo katika kata hiyo ya pugu stesheni.

"Nawashukuru wajumbe kwa kuniteua naahidi nitafanya kazi kwa bidii na kutatua kero za wananchi wa kata ya pugu stesheni amesema Omary"

Comments

Popular posts from this blog

MALYA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI VITI MAALUM

MAKAMO WA RAIS SMAUJATA ATIA NIA UBUNGE KIVULE

NLD YAZINDUA KAMPENI "FYEKA CCM", YATOA WITO HUU KWA TAMISEMI